John 3:8-10
8 aUpepo huvuma popote upendapo. Mvumo wake unausikia lakini huwezi ukafahamu utokako wala uendako. Ndivyo ilivyo kwa kila mtu aliyezaliwa na Roho.” 9 bNikodemo akamuuliza, “Mambo haya yanawezekanaje?” 10 cIsa akamwambia, “Wewe ni mwalimu mashuhuri wa Waisraeli, nawe huelewi mambo haya?
Copyright information for
SwhKC